• Bw. Aretas James Lyimo
    Kamishna Jenerali

  • Wasifu

Shuhuda

  • Naitwa Jackline Peter Mfughala. nimetumia dawa za kulevya kwa muda wa miaka mitano. Nilianza kujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya nilipomaliza kidato cha nne, wakati niko “idle” nyumbani nikisubiri majibu ya mitihani....
    Soma zaidi

    Jackline Peter Mfaghala

    Dawa za kulevya zilivyoharibu ndoto zangu
  • Kwa jina naitwa Jimmy Batistuta natokea Dar es Salaam. Niko katika Sober House ya Kigamboni. Mimi nilipata madhara makubwa kutokana na Dawa za Kulevya. Nimefanyiwa upasuaji mkubwa mara mbili kutokan...
    Soma zaidi

    Jimmy Batistuta

    Nilinusurika kufa kwa kusafirisha dawa za kulevya