Habari Mpya
-
Kamishna Jenerali Kusaya Afanya Mazungumzo na Katibu Mkuu UNODC
Mar 21, 2022Vienna – Austria
-
Mar 18, 2022
Waziri Balozi Dkt. Chana Atembelea Kituo cha MAT Mwananyamala
-
Mar 11, 2022
Siku 365 za Rais Samia Katika Kupambana na Dawa za Kulevya
-
Dec 20, 2021
Hekari 10 za mirungi zaharibiwa mkoani Kilimanjaro
Shuhuda
-
Naitwa Jackline Peter Mfughala. nimetumia dawa za kulevya kwa muda wa miaka mitano. Nilianza kujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya nilipomaliza kidato cha nne, wakati niko “idle” nyumbani nikisubiri majibu ya mitihani....
Soma zaidiJackline Peter Mfaghala
Dawa za kulevya zilivyoharibu ndoto zangu -
Kwa jina naitwa Jimmy Batistuta natokea Dar es Salaam. Niko katika Sober House ya Kigamboni. Mimi nilipata madhara makubwa kutokana na Dawa za Kulevya. Nimefanyiwa upasuaji mkubwa mara mbili kutokan...
Soma zaidiJimmy Batistuta
Nilinusurika kufa kwa kusafirisha dawa za kulevya
-
5 Pics
Kamishna Jenerali wa DCEA Gerald Kusaya, ameiwakilisha Tanzania katika mkutano wa 64 wa majadiliano ya kamisheni ya kimataifa ya udhibiti wa dawa za kulevya duniani uliofanyika mwezi Oktoba , 2021 jijini Vienna Nchini Austria.
-
5 Pics
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (katikati) akifafanua jambo alipokuwa akizungumza na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya ,Gerald Kusaya (wa tatu kulia).
-
4 Pics
Kamishna jenerali akioeshwa baadhi ya vifaa vilivyotumiwa zamani katika kurusha matangazo ya redio Tanzania Dar es Salaam