Habari Mpya
-
DCEA yatua Tarime kwa kishindo: Yawachachafya wakulima wa bangi bonde la mto Mara
Nov 01, 2023Tarime - MARA
-
Nov 01, 2023
Gunia 131 za bangi zakamatwa Morogoro
-
Jul 31, 2023
Waendesha mashtaka wa Serikali na wapelelezi wanolewa juu ya upelelezi na uendeshaji wa mashauri ya dawa za kulevya
-
Jul 23, 2023
DCEA yafanya ziara uwanja wa ndege wa Julius Nyerere
Shuhuda
-
Naitwa Jackline Peter Mfughala. nimetumia dawa za kulevya kwa muda wa miaka mitano. Nilianza kujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya nilipomaliza kidato cha nne, wakati niko “idle” nyumbani nikisubiri majibu ya mitihani....
Soma zaidiJackline Peter Mfaghala
Dawa za kulevya zilivyoharibu ndoto zangu -
Kwa jina naitwa Jimmy Batistuta natokea Dar es Salaam. Niko katika Sober House ya Kigamboni. Mimi nilipata madhara makubwa kutokana na Dawa za Kulevya. Nimefanyiwa upasuaji mkubwa mara mbili kutokan...
Soma zaidiJimmy Batistuta
Nilinusurika kufa kwa kusafirisha dawa za kulevya
-
5 Pics
Kamishna Jenerali wa DCEA Gerald Kusaya, ameiwakilisha Tanzania katika mkutano wa 64 wa majadiliano ya kamisheni ya kimataifa ya udhibiti wa dawa za kulevya duniani uliofanyika mwezi Oktoba , 2021 jijini Vienna Nchini Austria.
-
5 Pics
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (katikati) akifafanua jambo alipokuwa akizungumza na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya ,Gerald Kusaya (wa tatu kulia).
-
4 Pics
Kamishna jenerali akioeshwa baadhi ya vifaa vilivyotumiwa zamani katika kurusha matangazo ya redio Tanzania Dar es Salaam