(DCEA)
VITUO VYA TIBA SAIDIZI KWA WARAIBU KWA KUTUMIA DAWA (MEDICALLY ASSISTED THERAPY - MAT)
Vituo hivi husimamiwa na serikali na huhudumia waathirika wa dawa ya kulevya aina ya afyuni kama vile heroin na baadhi ya dawa tiba zenye asili ya kulevya. Waathirika wanaotibiwa kwenye vituo hivi hutibiwa kwa kutumia dawa mfano Methadone. Waathirika wanatakiwa kuhudhuria matibabu kila siku mpaka watakapomaliza matibabu. Huduma ya MAT hutolewa bure chini ya uangalizi wa wataalamu.
HUDUMA ZINAZOTOLEWA KATIKA VITUO VYA TIBA SAIDIZI KWA WARAIBU KWA KUTUMIA DAWA (MAT)
Na | JINA LA KITUO | JINA LA HOSPITALI | MKOA |
1. | Kliniki ya MAT Muhimbili | Hospitali ya Taifa Muhimbili | Dar es Salaam |
2. | Kliniki ya MAT Mwananyamala | Hospitali ya Mkoa ya Rufaa Mwananyamala | Dar es Salaam |
3. | Kliniki ya MAT Temeke | Hospitali ya Mkoa ya Rufaa Temeke | Dar es Salaam |
4. | Kliniki ya MAT Mbeya | Hospitali ya Rufaa ya Kanda | Mbeya |
5. | Kliniki ya MAT Mwanza | Hospitali ya Mkoa ya Rufaa ya Sekou Toure | Mwanza |
6. | Kliniki ya MAT Itega | Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe | Dodoma |
7. | Kliniki ya MAT Bagamoyo | Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo | Pwani |
8. | Kliniki ya MAT Tanga | Hospitali ya Mkoa ya Rufaa ya Bombo | Tanga |
9. | Kliniki ya MAT Tumbi | Hospitali ya Rufaa yaMkoa ya Tumbi, Kibaha | Pwani |
10. | Kliniki ya MAT Arusha | Hospitali ya Mkoa ya Rufaa yaMkoa, Mount Meru- Arusha | Arusha |
11. | Kliniki ya MAT Tunduma | Kituo cha Afya cha Tunduma | Songwe |
12. | Kliniki ya MAT Segerea | Kituo cha Afya cha Segerea | Dar es Salaam |
13. | Kliniki ya MAT Tegeta | Kituo cha Afya cha Tegeta | Dar es Salaam |
14. | Kliniki ya MAT Mbagala | Zahanati ya Round Table-Mbagala | Dar es Salaam |
15. | Kliniki ya MAT Kigamboni | Hospitali ya Vijibweni-Kigamboni | Dar es Salaam |
BAADHI YA ASASI ZA KIRAIA ZINAZOPELEKA WARAIBU KATIKA VITUO VYA METHADONE<span class="redactor-invisible-space"> </span>
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya
S.L.P 80327
8 Barabara ya Kivukoni Front, 11486 Dar es salaam
Dar es Salaam
Simu: +255 22 211 3754/57
Nukushi: +255 22 211 3752
Barua pepe: cg@dcea.go.tz
© 2023 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya