(DCEA)
Dawa mpya za kulevya ni dawa za kulevya ambazo hutengenezwa katika maabara bubu (clan laboratories) na haziko kwenye udhibiti chini ya mikataba ya kitaifa na kimataifa.
Dawa mpya za kulevya zinaweza kusababisha madhara makubwa kwa afya ya mtumiaji, zinafahamika kama dawa za kulevya zikiwa zenyewe au katika mchanganyiko na dawa nyinginezo.
Dawa hizi ambazo hazidhibitiwi kimataifa, hutengenezwa makusudi kukwepa mifumo ya udhibiti wa dawa za kulevya zilizopo kwenye orodha ya dawa zinazodhibitiwa. Dawa hizi zipo kwenye makundi mbalimbali kama vile cannabinoids, phenethylamines, synthetic cathinones, tryptamines, fentanyl related substances etc
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya
S.L.P 80327
8 Barabara ya Kivukoni Front, 11486 Dar es salaam
Dar es Salaam
Simu: +255 22 211 3754/57
Nukushi: +255 22 211 3752
Barua pepe: cg@dcea.go.tz
© 2023 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya