(DCEA)
Chini ya udhamini wa Bodi ya Kimataifa ya Kudhibti dawa za kulevya INCB, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na mamlakanyingineza udhibiti za TMDA, GCLA, MSD na Baraza la Famasi nchini zinatekeleza mradi wa kushirikisha sekta binafsi kuzuia uchepushwaji wa kemikali bashirifu.
Ushirikishaji huo ni muhimu katika kufanikisha utekelezaji wa Sheria za udhibiti kikamilifu kwani wadau muhimu wanakuwa sehemu ya udhibiti na hivyo kuziwezesha mamlaka kupata taarifa za uchepushwaji kwa wakati.
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya
S.L.P 80327
8 Barabara ya Kivukoni Front, 11486 Dar es salaam
Dar es Salaam
Simu: +255 22 211 3754/57
Nukushi: +255 22 211 3752
Barua pepe: cg@dcea.go.tz
© 2023 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya