Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Waziri Mkuu

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya

( DCEA )

Precursor Control

Udhibiti wa kemikali bashirifu unafanyika ili kuzuia uchepushwaji wa kemikali hizo na kutumika kutengeneza dawa za kulevya. Nchini Tanzania Kemikali bashirifu zinadhibitiwa chini ya sheria zifuatazo:

1. Sheria ya kemikali za viwandani na majumbani ya mwaka 2003 (Udhibiti na Usimamizi).

2. Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya namba 5 ya mwaka 2015.

3. Sheria ya Chakula, Dawa na Vipodozi namba 1 ya mwaka 2003.