(DCEA)
Udhibiti wa kemikali bashirifu unafanyika ili kuzuia uchepushwaji wa kemikali hizo na kutumika kutengeneza dawa za kulevya. Nchini Tanzania Kemikali bashirifu zinadhibitiwa chini ya sheria zifuatazo:
1. Sheria ya kemikali za viwandani na majumbani ya mwaka 2003 (Udhibiti na Usimamizi).
2. Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya namba 5 ya mwaka 2015.
3. Sheria ya Chakula, Dawa na Vipodozi namba 1 ya mwaka 2003.
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya
S.L.P 80327
8 Barabara ya Kivukoni Front, 11486 Dar es salaam
Dar es Salaam
Simu: +255 22 211 3754/57
Nukushi: +255 22 211 3752
Barua pepe: cg@dcea.go.tz
© 2023 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya