(DCEA)
Kuzingatia kanuni za uadilifu na ukweli ili kutenda haki bila upendeleo.
Kuimarisha ushirikiano na wadau pamoja na jumuiya ya kimataifa katika jitihada za kupambana na kudhibiti dawa za kulevya.
Kufanya kazi kwa kuzingatia maslahi ya umma ili kuilinda jamii dhidi ya matumizi, biashara na madhara ya dawa za kulevya.
Matumizi ya njia/mbinu bora zaidi zinazokidhi kutatua changamoto mpya katika udhibiti wa dawa za kulevya.
Kuwa na timu ya wataalamu wanaofanya kazi kwa weledi na maarifa.
Kuweka siri ya vyanzo vya taarifa za dawa za kulevya ili kuwalinda watoa taarifa.
Kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kutimiza malengo.
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya
S.L.P 80327
8 Barabara ya Kivukoni Front, 11486 Dar es salaam
Dar es Salaam
Simu: +255 22 211 3754/57
Nukushi: +255 22 211 3752
Barua pepe: cg@dcea.go.tz
© 2023 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya