Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Waziri Mkuu

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana Dawa za Kulevya

( DCEA )

Elimu

Imewekwa: 16 January, 2017
Elimu

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hutoa elimu kwa wananchi na makudi mbalimbali ya kijamii kupitia majukwaa mbalimbali ili kuhakikisha jamii inapata uelewa sahihi juu ya tatizo la dawa za kulevya.