Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Waziri Mkuu

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya

( DCEA )

Makamishina Wastaafu

Hawa ni makamishna jenerali wastaafu waliolitumikia Taifa kwa uadilifu na kujitolea katika kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya. Mchango wao umeacha alama kubwa katika historia ya Mamlaka na unaendelea kuwa dira kwa vizazi vijavyo.