Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Waziri Mkuu

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana Dawa za Kulevya

( DCEA )

Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara

Bangi ni aina ya Dawa ya Kulevya inayotokana na Mmea uitwao Cannabis Sativoe. Majani ya Bangi yana Kemikali nyingi zinazoweza kuleta madhara katika mwili wa binadamu. Moja ya Kemikali ambayo imefanyiwa utafiti sana ni Tetrahydrocanabinoid(THC). Matumizi ya Bangi husababisha utegemezi pamoja na ma...
Dawa za kulevya zinazokamatwa hutunzwa kwenye Ghala maalum la kutunzia Vielelezo vya Kesi. Dawa hizi zinatakiwa kuwepo muda wote wa Kesi kama Kielelezo cha Kesi husika. Pale Kesi zinapomalizika, Dawa hizi huteketezwa kwa taratibu zilizowekwa Kisheria. Tarehe 8 mwezi Oktoba .mwaka 2019 kiasi cha...
Methadone ni Dawa inayotumika kutibu watu walioathirika na Matumizi ya Dawa za Kulevya aina ya Heroin ili kuzuia Arosto wanayoweza kupata pindi wanapokosa Dawa ya Heroin. Dawa hii hotolewa Hospitalini kwa maelezo ya Daktari. Iwapo mtu ataitumia kiholela inaweza kumletea madhara na hata kifo....
Kuberi na Ugoro ni bidhaa zinazotumiwa na watu wengi kwa ajili ya kujistarehesha. Bidhaa hizi ni aina ya vilevi visivyo dhibitiwa Kisheria. Kuber na ugoro zina viwango vya kemikali iitwayo Nicotine. Mtu akitumia ugoro na kuberi huweza kumsababishia madhara kama;- - Utegemezi, - Saratan...
Majani ya Chamkwale hutumiwa mkoani Kigoma kama kilevi, Je yapo kwenye orodha ya dawa za kulevya?
Kinywaji cha Cocacola ni kinywaji kinachotumika dunia nzima. Kinywaji hiki kilianza kutengenezwa rasmi mwaka 1886. Kipindi hicho kinywaji hiki kilikuwa kinachanganywa na majani ya Coca yanayotummika kutengeneza Cocaine. Kutokana na hali hiyo kulitokea malalamiko makubwa kutoka kwa jamii juu ya k...
Kutokana na kemikali hizo katika mirungi, watumiaji wa mirungi wamekuwa wakipata madhara mbalimbali ya kimwili na kiakili. Baadhi ya madhara hayo ni;  Huongeza kasi ya mapigo ya moyo hivyo kuweza kuongeza shinikizo la damu, kiharusi na hata kusababisha kifo.  Husababisha vidonda vya utumbo mdo...
Dawa gani zinatumiwa sana?
Nitamjiuaje mtumiaji