Nyumba ya Upataji Nafuu ya Life and Hope Yapata Kompyuta
Nyumba ya Upataji Nafuu ya Life and Hope Yapata Kompyuta
Imewekwa: 13 June, 2018
Mkuu wa Kitengo Cha Ugavi cha Mamlaka ya Kudhiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Bi. Kijori Said akikabidhi Msaada wa Kompyuta kwa Mkurugenzi wa Nyumba ya Upataji Nafuu ya Life and Hope Rehabilitation Bw. Salum Bhanji mjini Bagamoyo. Aprili 27, 2017