(DCEA)
amishna Jenerali Gerald Musabila Kusaya leo amekutana na Balozi wa India Nchini Tanzania Mhe. Binaya Srikanta Pradhan akiwa ameambatana na mwambata Murty Satya Jallepalli kwenye ofisi za Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa lengo la Kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na India dhidi ya mapambano ya dawa za kulevya.
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya
S.L.P 80327
8 Barabara ya Kivukoni Front, 11486 Dar es salaam
Dar es Salaam
Simu: +255 22 211 3754/57
Nukushi: +255 22 211 3752
Barua pepe: cg@dcea.go.tz
© 2023 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya