• Wadau Wetu
  • Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Barua Pepe Ya watumishi
  • English
    English

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya

(DCEA)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Tunafanya nini?
    • Misingi Mikuu
    • Sisi ni nani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Sheria na Kanuni
    • Miongozo
    • Vipeperushi
    • Mada mbalimbali
    • Taarifa za Mwaka za Dawa za Kulevya
    • Taarifa za Hesabu za Mwaka
    • Tuzo
    • Hotuba
  • Dawa za kulevya
    • Ukweli kuhusu Cocaine
    • Ukweli kuhusu Heroin
    • Ukweli kuhusu Mirungi
    • Ukweli kuhusu Bangi
  • Ukaguzi na Sayansi Jinai
    • Kemikali Bashirifu
      • Jedwali la kemikali bashirifu
      • Udhibiti wa kemikali bashirifu
    • Dawa mpya za kulevya
      • Dawa mpya za kulevya ni nini?
      • Orodha ya dawa mpya za kulevya
    • Nakotiki na Saikotropiki
      • Nakotiki na Saikotropiki ni nini?
      • Dawa zinazodhibitiwa
    • Miradi
      • Ushirikishwaji wa sekta binafsi katika udhibiti wa kemikali bashirifu
      • Maabara ya sayansi jinai
  • Vituo Tiba
    • Huduma za matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya
    • Vituo tiba kwaajili ya waathirika wa dawa za kulevya
    • Nyumba za upataji nafuu
  • ELIMU KWA UMMA
    • Warsha na semina
    • Elimu kupitia Vyombo vya habari
      • Vipindi vya redio
      • Vipindi vya Televisheni
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha za Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Magazeti

Tokomeza unyanyapaa kwa waraibu wanawake na wasichana

Imewekwa: Monday 01, March 2021

Leo ni siku ya kukomesha unyanyapaa Duniani (Zero Discrimination Day) ambayo huadhimishwa na Umoja wa Mataifa na Mashirika mengine Duniani kila ifikapo tarehe 01 Machi kila mwaka.

Ikiwa lengo la siku hii ni kuhamasisha USAWA katika jamii zetu hususani kwa makundi ambayo yamekuwa yakinyanyapaliwa kutokana na hali walizonazo au mambo tofauti waliyoyapitia, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa Za Kulevya inaungana na juhudi zote zinazofanyika kupinga unyanyapa kwa waraibu wa dawa za kulevya tukiamini kwamba waraibu ni watu kama watu wengine hivyo wanastahili kuthaminiwa na jamii yote.

Ujumbe wa Mwaka 2021 kuhusu siku hii ni ‘Zero Discrimination Against Women and Girls’ . Katika jamii yetu wanawake na wasichana wameingia kwenye wimbi la matumizi ya dawa za kulevya kutokana na sababu mbalimbali ila wamekuwa na changamoto ya kujitokeza kupata huduma ili waachane na dawa hizo kutokana na unyanyapaa ulioko kwenye jamii. hivyo basi, katika siku ya leo Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na dawa za kulevya imetumia siku hii muhimu na waraibu kushiriki pamoja na waraibu wanawake na wasichana walioko jijini Dar es Salaam kujadili changamoto wanazokutana nazo.na namna ya kukabiliana nazo.

Aidha, Mamlaka inatoa wito kwa jamii kutokuwanyanyapaa wanawake na wasichana hawa pamoja na waathirika wote wa dawa za kulevya ili waweze kujitokeza kwa ajili ya kupata huduma za tiba.

.

Habari Mpya

  • Raia wa kigeni na mkewe  wahukumiwa miaka 30 jela kwa bangi

    Raia wa kigeni na mkewe wahukumiwa miaka 30 jela kwa bangi

    Apr 12, 2021
  • Shamimu, mumewe jela maisha kwa dawa za kulevya

    Shamimu, mumewe jela maisha kwa dawa za kulevya

    Apr 08, 2021
  • Tokomeza unyanyapaa kwa waraibu wanawake na wasichana

    Tokomeza unyanyapaa kwa waraibu wanawake na wasichana

    Mar 01, 2021
  • Miaka 30 jela kwa kusafirisha Heroin gramu 43.95

    Miaka 30 jela kwa kusafirisha Heroin gramu 43.95

    Feb 05, 2021
  • Soma Zaidi

Nifanyaje?

  • Nitatoaje taarifa ya uhalifu wa dawa za kulevya na matumizi?
  • Nitapataje huduma ya matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya
  • Nitapataje huduma ya Nyumba ya Upataji Nafuu kwa waathirika wa dawa za kulevya

Mawasiliano

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya

S.L.P 80327

8 Barabara ya Kivukoni Front, 11486 Dar es salaam
Dar Es Salaam

Simu: +255 22 211 3754/57
Nukushi: +255 22 211 3752
Barua pepe: info@dcea.go.tz

Nifanyaje?

  • Nitatoaje taarifa ya uhalifu wa dawa za kulevya na matumizi?
  • Nitapataje huduma ya matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya
  • Nitapataje huduma ya Nyumba ya Upataji Nafuu kwa waathirika wa dawa za kulevya

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Utumishi
  • Taasisi ya Mifupa Muhimbili(MOI)
  • Hospitali ya Taifa Muhimbili
  • Wakala ya Serikali Mtandao

Kurasa za Karibu

  • picha za Mamlaka
  • Kauli mbiu ya siku
  • Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA)
  • Mafunzo
  • Ukamataji
  • Taarifa ya board

© 2021 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya