Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Waziri Mkuu

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya

( DCEA )

Ukaguzi wa Kemikali Bashirifu

Imewekwa: 13 June, 2018
Ukaguzi wa Kemikali Bashirifu

Maofisa wa Mamlaka ya Kudhiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Nchini wakifanya Ukaguzi wa Kemikali Bashirifu zilizokamatwa katika Bandari ya Dar es Salaam zikiingizwa nchini kinyume na sheria. Juni 2, 2017