• Wadau Wetu
  • Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Barua Pepe Ya watumishi
  • English
    English

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya

(DCEA)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Tunafanya nini?
    • Misingi Mikuu
    • Sisi ni nani
    • Muundo wa Taasisi
  • Dawa za kulevya
    • Ukweli kuhusu Cocaine
    • Ukweli kuhusu Heroin
    • Ukweli kuhusu Mirungi
    • Ukweli kuhusu Bangi
  • Ukaguzi na Sayansi Jinai
    • Kemikali Bashirifu
      • Jedwali la kemikali bashirifu
      • Udhibiti wa kemikali bashirifu
    • Dawa mpya za kulevya
      • Dawa mpya za kulevya ni nini?
      • Orodha ya dawa mpya za kulevya
    • Nakotiki na Saikotropiki
      • Nakotiki na Saikotropiki ni nini?
      • Dawa zinazodhibitiwa
    • Miradi
      • Ushirikishwaji wa sekta binafsi katika udhibiti wa kemikali bashirifu
      • Maabara ya sayansi jinai
  • Vituo Tiba
    • Huduma za matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya
    • Vituo tiba kwaajili ya waathirika wa dawa za kulevya
    • Nyumba za upataji nafuu
  • Machapisho
    • Sheria na Kanuni
    • Miongozo
    • Vipeperushi
    • Mada mbalimbali
    • Taarifa za Mwaka za Dawa za Kulevya
    • Taarifa za Hesabu za Mwaka
    • Tuzo
    • Hotuba
    • Elimu kwa Umma
    • Magazeti
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha za Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Magazeti

Shuhuda

Jackline Peter Mfaghala
Dawa za kulevya zilivyoharibu ndoto zangu

Naitwa Jackline Peter Mfughala. nimetumia dawa za kulevya kwa muda wa miaka mitano. Nilianza kujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya nilipomaliza kidato cha nne, wakati niko “idle” nyumbani nikisubiri majibu ya mitihani. Nilijikuta nimeingia kwenye makundi mabovu yaliyonipelekea kuwa mtumiaji na hatimaye mtegemezi wa dawa za kulevya. Nimepitia changamoto nyingi sana nikiwa binti mdogo.

Matokeo ya kidato cha nne yalipotoka nilifaulu vizuri sana ila sikuweza kuendelea na kidato cha tano na cha sita kwa sababunilikuwa nimeshakuwa mtegemezi wa dawa za kulevya.

Matumaini yangu yalirejea baada ya kujiunga na huduma na tiba ya methadone ambapo niliweza kupata mafunzo ya darasani na dawa ya methadone iliyonisaidia kupona.Namshukuru Mungu niliweza kurejea kuendelea na masomo yangu ya kidato cha tano na cha sita. Pia nashukuru kwa mafunzo niliyoyapata nilipokuwa kwenye tiba kwani mafunzo hayo yamenisaidia kuanzisha asasi yangu ambayo inatoa elimu kwa vijana wa kike kuhusiana na athari za dawa za kulevya.

Naishukuru Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, nawashukuru wauguzi wote wanaosaidia kufanikisha tiba kwa waraibu wa dawa za kulevya, nawashukuru MDH, naishukuru Serikali kwa kutoa huduma ya methadone bure, pia nawashukuru wanaharakati wote wanaopambana na dawa za kulevya.

Nitoe wito wa vijana wenzangu madawa kuachana na matumizi ya dawa za kulevya kwani yanakatisha ndoto na kupoteza mwelekeo, unaweza kuanza kama starehe lakini baadae inakuwa majuto. Hivyo nawashauri kutokujiingiza kabisa kwenye dawa za kulevya.


Tanzania bila dawa za kulevya inawezekana

Habari Mpya

  • DCEA yashiriki Maonesho Wiki ya Sheria

    DCEA yashiriki Maonesho Wiki ya Sheria

    Jan 25, 2023
  • Zaidi ya tani mbili na nusu za dawa za  kulevya zateketezwa

    Zaidi ya tani mbili na nusu za dawa za kulevya zateketezwa

    Dec 29, 2022
  • Kilo 16.643 za Dawa za Kulevya Zakamatwa jijini Dar es Salaam

    Kilo 16.643 za Dawa za Kulevya Zakamatwa jijini Dar es Salaam

    Dec 07, 2022
  • Serikali Yaomba Viongozi wa Dini Kukemea Matumizi ya Dawa za Kulevya

    Serikali Yaomba Viongozi wa Dini Kukemea Matumizi ya Dawa za Kulevya

    Oct 13, 2022
  • Soma Zaidi

Nifanyaje?

  • Nitatoaje taarifa ya uhalifu wa dawa za kulevya na matumizi?
  • Nitapataje huduma ya matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya
  • Nitapataje huduma ya Nyumba ya Upataji Nafuu kwa waathirika wa dawa za kulevya
Tanzania Census 2022

Mawasiliano

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya

S.L.P 80327

8 Barabara ya Kivukoni Front, 11486 Dar es salaam
Dar es Salaam

Simu: +255 22 211 3754/57
Nukushi: +255 22 211 3752
Barua pepe: cg@dcea.go.tz

Nifanyaje?

  • Nitatoaje taarifa ya uhalifu wa dawa za kulevya na matumizi?
  • Nitapataje huduma ya matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya
  • Nitapataje huduma ya Nyumba ya Upataji Nafuu kwa waathirika wa dawa za kulevya

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Utumishi
  • Taasisi ya Mifupa Muhimbili(MOI)
  • Hospitali ya Taifa Muhimbili
  • Wakala ya Serikali Mtandao

Kurasa za Karibu

  • picha za Mamlaka
  • Kauli mbiu ya siku
  • Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA)
  • Mafunzo
  • Ukamataji
  • Taarifa ya board

© 2023 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya